Tumieni mashine zinazozalishwa nchini - Dkt. Chana

Waziri wa Maliasili na Utalii, Balozi Dkt. Pindi Chana amewataka wadau wa sekta ya  Misitu katika maeneo mbalimbali nchini kutumia mitambo na vifaa vinavyo tengenezwa nchini Tanzania kwa ajili ya shughuli za utayarishaji na uchakataji wa mazao ya Misitu

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS