Dkt. Nchemba afanya ziara soko la Kariakoo

Waziri wa Fedha na Mipango, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, amefanya ziara ya kushtukiza soko la Kariakoo na kuagiza  mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutatua changamoto mbalimbali za wafanyabiashara wa Soko hilo ili kuchochea biashara katika soko

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS