Walioapishwa wapewa miezi 6 wakishindwa wanatolewa
Rais wa Jamhuri ya Muunganio wa Tanzania Samia Suluhu Hassan, amesema alikuwa ameanza kupo amesema alikuwa ameanza kupokea malalamiko ya baadhi ya viongozi hata kabla ya kuwaapisha na kuwataka wajirekebishe na wakatimize majukumu yao walau kwa miezi sita, kwani wakifanya vibaya atawaondoa.