Mtu mmoja akutwa na viungo vya binadamu Kigoma

Kamanda wa Polisi Kigoma ACP Felomon Makungu

Jeshi la polisi mkoani Kigoma linamshikilia mtu mmoja anayejulikana kwa jina la Taimu Kaogoma mkazi wa Kijiji cha Gwanupu wilayani Kakonko mkoani humo  kwa Tuhuma za kukutwa na viungo vinavyodhaniwa kuwa ni vya binadamu ikiwemo fuvu la kichwa na mfupa wa taya.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS