Viongozi waaswa kutowarudisha nyuma wananchi

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana

Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara, Abdulrahman Kinana, amewataka viongozi kufanya kazi ya kuwasikiliza wananchi na kutatua kero zao badala ya kuwaongoza kwa kuwawekea sheria na miongozo ya kuwarudisha nyuma.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS