JKT Queens na Simba Queens kuamua ubingwa kesho

JKT Queens vs Simba Queens

Uhondo wa ligi kuu ya wanawake Tanzania Bara utarejea tena Jumatano hii  Mei 7 ,2025 ambapo  vinara wa ligi hiyo  JKT Queens watakuwa nyumbani Meja Isamhuyo kuwakaribisha Simba Queens mabingwa watetezi wa michuano hiyo. 

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS