Serikali kujenga kituo cha kupoza umeme Simiyu

Waziri wa Nishati, January Makamba

Kutokana na changamoto ya kukosa umeme wa uhakika mkoani Simiyu serikali imetangaza kuanza ujenzi wa kituo cha kupozea umeme katika mkoa huo ambapo jumla ya Sh Bilioni 75 zimeelekezwa kwenye ujenzi wa mradi huo

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS