Simba yafanya usajili wa pili, watoa Milioni 35
Klabu ya Simba SC ya Dar es salaam imemtangaza Habibu Kyombo kuwa mchezaji mpya wa klabu hiyo akitokea Mbeya Kwanza. Kyombo anakuwa mchezaji wa pili anasajiliwa na Simba SC msimu huu baada ya Moses Phiri.