Mkakati wa kupambana na tembo Tanga

Mkuu wa mkoa wa Tanga, Adam Malima amesema Tembo wanaovamia makazi ya wananchi na kuua watu na kuharibu mazao wataondoshwa na kufungwa kola iyakayowezesha maafisa wanyama pori  kufahamu mahali walipo na kuwadhibiti.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS