Mil 700 kwa atakayempata Mchina aliyemuua mwenzake

Fu Nannan, aliyeuawa na Zheng Lingyao

Familia ya Fu Nannan (Pichani) ambaye ni raia wa China aliyeuawa Juni 11, 2022, kwa kupigwa risasi nyumbani kwake Ilala Jijini Dar es Salaam na Mchina mwenzie aitwaye Zheng Lingyao, imeahidi dau la shilingi milioni 700 kwa atakayefanikisha kupatikana kwa mtuhiwa huyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS