Utekelezaji wa agizo la RC Makalla Dar es salaam

Kufuatia Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Amos Makalla kutoa maagizo matano kwa watendaji na wenyeviti wa mitaa ikiwemo kudhibiti baadhi ya wafanyabiashara kutorejea kwenye maeneo yaliyokatazwa EATV imepita katika mitaa kuona uhalisia ulivyo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS