Costa Rica yakamilisha timu 32 za Kombe la Dunia

Wachezaji wa timu ya taifa ya Costa Rica wakishangilia baada ya kufuzu kombe la Dunia

Timu ya taifa ya Costa Rica imefuzu kucheza fainali za kombe la Dunia kwa mara ya 6 baada ya kuifunga timu ya taifa ya New Zealand bao 1-0 kwenye mchezo wa mtoano (Playoffs). Na kukamilisha idadi ya mataifa 32 yatakayoshiriki kwenye fainali hizo.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS