Katibu mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba
Watanzania wamehamasishwa kuanza kutumia nishati ya gesi asilia kwenye magari yao, kutokana na unafuu wa gharama yake ukilinganisha na matumizi ya magari yanayotumia mfumo ya mafuta ya petrol au dizeli.