Gesi asilia yapunguza mgao wa umeme nchini

Katibu mkuu wa Wizara ya Nishati Mhandisi Felchesmi Mramba

Watanzania wamehamasishwa kuanza kutumia nishati ya gesi asilia kwenye magari yao, kutokana na unafuu wa gharama yake ukilinganisha na matumizi ya magari yanayotumia mfumo ya mafuta ya petrol au dizeli.

Pages

Subscribe to East Africa Television RSS