Together Tunawakilisha
Home

YOU ARE NOT LOGGED IN
  • Login
  • or
  • Sign Up
  • Dashboard
  • Logout
  • Home
  • Shows
  • News
    • Currrent Affairs
    • Entertainment
    • Sport
    • Business
    • Life & Style
  • Gallery
  • Schedule
  • Namthamini

Dance100% (2014) - TCC ( CHANG'OMBE )

You are here

  1. Gallery
Submitted by Telesphory on Tuesday , 5th Aug , 2014
Washehereshaji wa Onesho la Dance100% Tony Albert au T - Bway na Menina Atick wakionesha uwezo wao wa kusakata dansi wakati wanaingia katika usaili wa Tatu na wa mwisho uliofanyika katika viwanja vya mpira wa kikapu TCC - Chang'ombe - DSM.
Tony Albert au T-Bway na Menina Atick wakisakata dansi kabla ya mashindano Dance100% katika usaili wa mwisho kuanza katika viwanja vya TCC-Chang'ombe yaliyofanyika tarehe 3/8/2014 jijini Dar es salaam. Mashindano yanadhaminiwa na Vodacom-Tanzania
Mmoja wa majaji wa Shindano la Dance100% Hassan Nyamwela almaarufu kama Super Nyamwela akiingia kwa madoido ya kudansi katika viwanja vya TCC-Chang'ombe katika mashindano hayo yaliyofanyika tarehe 3/8/2014.
Jaji Queen Darleen akiingia kwa kucheza kwa manjonjo katika mashindano ya Dance100%
Baadhi ya mashabiki na wafuatiliaji wa mashindano ya Dance100% wakiangalia kwa makini kinachoendelea katika mashindano hayo katika viwanja vya TCC - Chang'ombe, Mashindano ya #2014Dance100 yanadhaminiwa na Vodacom na kinywaji rasmi ni Grand Malt.
Kundi la Best Boys Crew likionyesha mbwembwe za kudansi katika mashindano ya usaili wa tatu na wa mwisho ya Dance100% yaliyofanyika katika viwanja vya mpira wa kikapu TCC - Chang'ombe tarehe 3/8/2014
Kundi la Best Boys Crew likionesha manjonjo yao ya kudansi katika mashindano ya usaili wa Tatu na wa mwisho ya Dance100% mnamo tarehe 3/8/2014 katika viwanja vya TCC - Chang'ombe jijini Dar es salaam.
Kundi la Dar Crew likionesha mbwembwe za kudansi katika mashindano ya usaili wa tatu na wa mwisho ya Dance100% viwanja vya TCC - Chang'ombe. mashindano yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania huku kinywaji Rasmi kikiwa ni Grand Malt.
Jaji Lotus Kyamba akitoa alama zake kwa kundi husika katika mashindano ya Dance100%, kinywaji rasmi cha mashindano hayo ni Grand Malt huku yakiwa yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania
Kundi la The W-T likitoa ubunifu wake wa kuDansi katika mashindano ya usaili wa 3 na wa mwisho katika viwanja vya TCC - Chang'ombe yaliyofanyika tarehe 3/8/2014
Washehereshaji wa mashindano ya kudansi ya Dance100% Tony Albert ama T-Bway na Menina Atick wakiongea na kundi la The W-T baada ya kumaliza kuonesha ubunifu wao wa kudansi.
Kundi la G.O.P likitoa ubunifu wake wa kuDansi katika mashindano ya usaili wa 3 na wa mwisho katika viwanja vya TCC - Chang'ombe yaliyofanyika tarehe 3/8/2014.
Kundi la G.O.P likionesha manjonjo yao ya kudansi katika mashindano ya usaili wa 3 na wa mwisho ya Dance100% mnamo tarehe 3/8/2014 katika viwanja vya TCC - Chang'ombe jijini Dar es salaam.
Jaji Hassan Nyamwela kwa jina maarufu Super Nyamwela akitoa alama zake kwa kundi husika katika mashindano ya Dance100% , kinywaji rasmi cha mashindano hayo ni Grand Malt huku yakiwa yanadhaminiwa na Vodacom Tanzania
Baadhi ya mashabiki na wafuatiliaji wa mashindano ya Dance100% wakiangalia kwa makini kinachoendelea katika mashindano hayo katika viwanja vya TCC - Chang'ombe, Mashindano ya #2014Dance100 yanadhaminiwa na Vodacom na kinywaji rasmi ni Grand Malt.
WAZAWA CREW
Kundi la Mwanzo Mwisho ni moja ya makundi yaliyojitokeza katika usaili wa 3 na wa mwisho katika mashindano ya Dance100% yaliyofanyika katika viwanja vya TCC - Chang'ombe tarehe 3/8/2014 likionyesha jitihada zake za kudansi.
STREET DANCER
Washehereshaji mashindano ya Dance100% wakiwa na makundi yaliyofanikiwa kuvuka mchujo wa usaili wa 3 wa mwisho yaliyofanyika katika viwanja vya TCC, makundi hayo Sita ni Dar Crew, Best Boys Crew, The W-T, G.O.P, Best Love na Wazawa Crew.

Recent Gallery

EATV JOGGING
EATV KINARA 2023
WASHINDI NA ZAWADI
FAINALI GAME 3 (Best of 5) Mchenga Bingwa 2019
Fainali Game 2 (Best of 5)
Fainali Game 1 (Best of 5)

TOP STORIES

Mwenyekiti wa Ngome ya Wanawake wa Chama cha ACT Wazalendo Janeth Rithe

Current Affairs
Kiongozi wa ACT ajisalimisha polisi, anahojiwa Dar
Current Affairs
Mawaziri ulaya kuteta na Iran
Current Affairs
Mbunge Bwege kuchangiwa figo na mtoto wake
Current Affairs
Rais samia azindua mradi wa maji

MOST POPULAR

Dance 100% 2013
Kili Music Tour Songea yavunja rekodi
Tamasha la Kili Music Tour 2014 mjini Moshi
Tamasha la Kili Music Tour 2014 ndani ya Kahama
KILIMANJARO MUSIC TOUR 2014 -IRINGA

ABOUT US

  • About us
  • Advertise
  • Jobs
  • Terms & Conditions
  • Contact Us
  • Frequently Asked Questions

Network

  • IPP MEDIA
  • EAST AFRICA RADIO
  • ITV
  • RADIO ONE
  • CAPITAL RADIO
  • LOKOPROMO

©  East Africa Television Limited. All Rights Reserved

  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
  • Search
  • Main menu
    • Home
    • Shows
    • News
      • Currrent Affairs
      • Entertainment
      • Sport
      • Business
      • Life & Style
    • Gallery
    • Schedule
      • Awards
      • BBALLKINGS
      • Dance100
    • Namthamini
  • Search