Ibra Cheba
Naitwa Ibra Cheba wa Tegeta mtaa wa Msichoke pembeni na rafiki yangu hapa tunawapa HOLLA 5 wanafunzi wote wa darasa la kwanza shule ya msingi Kunduchi, Kaka Tobi, Dada Mama Judi, Bibi Mwarabu, Kaka Cheba, Kaka Pilisi na Kaka Mandela.
Deogratias
Hello! Naitwa Deogratias miaka mitatu toka pande za Tabata, nawasalim wazazi wangu na rafiki zangu wote wa Dar pia Mbeya. Helooooo5.
Selick Black
Niaaje? unaangalia enewz kutoka pande za MANYONI ni SELICK BLAC hapa wa WAZAWA CLASSIC hoolah kwa DIVAH CHARITY,Joz pinoh,homeboy smaylo,drama sasha na WAZAWA wooote!! EATV ndo babalaooo!.
Iptsam
Iptsam anampa hi bibi yake bi mgende pande za kibaha mwanalugari.