Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM kuijenga upya reli ya kati kukuza ajira

Monday , 12th Oct , 2015

Chama cha Mapinduzi CCM kimesema kuwa kitahakikisha reli ya kati inaimarishwa ili bandari kuu iliyopo eneo la Isaka wilayani kahama mkoani Shinyanga iweze kufanya kazi kwa ukamilifu na kuongeza ajira wananchi wa eneo hilo.

Samia Suluhu akiwahutubia wananchi katika mkutano wa kampeni Mkoani Shinyanga

Akizingumza katika mikutano ya hadhara tofauti katika mkoa huo mgombea mwenza wa chama hicho Bi. Samia Suluhu amesema ilani ya chama hicho inazungumzia maboresho ya reli katika kuleta maendeleo ya watu wa kanda hiyo.

Bi. Samia amesema tatizo la bandari hiyo wanalifahamu ambapo hapo awali ilikua inatoa ajira mpaka watu elfu sita lakini kwa sasa imeshuka kiasi ambacho imesababusha viajana wengi kukosa ajira.

Katika hatua nyingine Bi. Samia amesema pia serikali ya chama cha mapinduzi itawaboreshea hali ya ufanyaji biashara wajasiriamali wadogo ikiwa ni pamoja na kuwaunganisha katika mifuko ya hifadhi ya jamii ili kunufaika nayo.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya