Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

CCM yajipanga kwa marudio ya uchaguzi Zanzibar

Monday , 28th Dec , 2015

Kamati maalumu ya Halmshauri Kuu ya Chama cha Mapinduzi visiwani Zanzibar imekutana na kujadili hali ya kisiasa visiwani humo ikiwa ni pamoja na kutoa tamko la chama hicho.

Katibu wa Idara ya Uenezi Afisi Kuu Zanzibar Ndg Waride Bakari Jabu akiwahutubia Wananchi

Akizunguza na waandishi wa habari kwenye makao makuu ya chama hicho visiwani humo Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Zanzibar Bi. Waride Bakari Jabu amesema kamati maalumu imewataka wanachama wake kujiimarisha na kujiweka tayari kwa ajili ya uchaguzi wa marudio.

Waride amesema kuwa baada ya Jecha kufuta matokeo ya uchaguzi mkuu wa Oktoba 25 mwaka huu hakuna mgombea yoyote ambaye anaweza kuapishwa kuwa Rais wa Zanzibar kupitia matokeo ya uchaguzi huo.

Wakati CCM, na CUF wakiendelea kujadiliana chama cha ADA-TADEA kupitia mkurugenzi wake wa habari, Rashid Mchenga kimesisitiza umuhimu wa kufuata katiba huku kikishangazwa na majadilano hayo kuwa ni ya vyama viwili tu wakati uchaguzi ulikuwa na vyama 14.

HABARI ZAIDI

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP

Mbunge wa Kilosa Profesa Palamagamba Kabudi

"Ndege ijayo ipewe jina la Mwl Nyerere" - Profesa

Baadhi ya Wanachi wa Kata ya Msowero, wakiwa Katika Mkutano wa Hadhara na Mkuu wa Wilaya

Mwenyekiti atiwa mbaroni kwa kuuza mlima, Msowero

Sehemu iliyokumbwa na Mafuriko Kusini mwa Brazil

Wanaokufa kutokana na mafuriko waongezeka Brazil