
Akizungumza na mwandishi wa www.eatv.tv Mheshimiwa Waryuba amesema amefikia uamuzi wa kufanya hivyo ili kuweza kuisaidia serikali kubaini watu waliosababisha kukatisha masomo kwa mabinti hao, ambao mara nyingi wamekuwa wakihofia kuwataja.
Mheshimiwa Waryuba amesema kuwa mabinti hao pamoja na wazazi wao wametoa ushirikiano wa kutosha kwa serikali kwa kuwataja, huku wakionyesha kujutia baada ya kufikishwa polisi, lakini wote waliachwa huru baada ya kukamilisha mahojiano.
Msikilize hapa chini akizungumza kwa hisia kali