Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

JPM abariki taasisi kukatiwa maji

Wednesday , 21st Jun , 2017

Rais John Magufuli amesema kuwa takwimu zinaonyesha kuwa Kiwango cha mita za ujazo za maji kwa matumizi ya mtu mmoja kitapungua hadi kufikia mita za ujazo 883 ifikapo mwaka 2035 kutokana na uharibifu wa mazingira katika vyanzo vya maji.

Rais Magufuli amefunguka hayo leo katika siku ya pili ya ziara yake Mkoani Pwani ambapo akiwa katika eneo la Mlandizi wakati wa uzinduzi wa mtambo wa maji wa Ruvu Juu, amezitaka mamlaka na wananchi kuchukua hatua stahiki katika kuendelea kulinda vyanzo vya maji.

Akizungumzia kuhusu deni la shilingi bil 40 ambazo taasisi mbalimbali za serikali zinadaiwa na idara ya maji  Rais Magufuli ametaka taasisi hizo zikatiwe maji mpaka pale zitakapolipa madeni yake.

“Mtu asipolipa bili ya maji iwe taasisi yoyote hata kama ni Ikulu narudia kusema KATA, kwa sababu tumezoea kudekezana” alisema Magufuli

Pamoja na hayo Rais amemshukuru Waziri Mkuu wa India kwa kutoa kiasi cha shilingi tril 1.3 kwa ajili ya kuendeleza miradi ya maji katika mikoa 16 nchini pamoja na kumhakikishia Balozi wa India kuwa mahusiano kati ya nchi hizo yataendelea kuimarika.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP