Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Kigwangalla kuiba ujuzi Oman

Tuesday , 17th Oct , 2017

Waziri wa Maliasili ya Utali Dkt. Hamis Kigwangala amesema kuwa ugeni wa Serikali ya Oman nchini kwa Wizara hiyo utatoa fursa ya kujifunza kwa kuangalia Serikali hiyo inafanya nini ili kuweza kuimarisha Sekta ya Utalii nchini.

Mh. Kigwangalla amesema hayo leo wakati Makamu wa Rais wa Tanzania, Samia Suluhu leo alipokutana na ujumbe wa Mfalme wa Oman Sheikh Sultan Qabous Bin Said ambao unadaiwa kuwa na malengo ya kuimarisha masuala ya biashara kwa nchi za ukanda wa Pwani ya Afrika Mashariki. 

“Tumekuja kuangalia na kujifunza wenzetu wanafanyaje katika mbinu za sekta ya utalii kwa mfano serikali ya Oman ina tembelewa na watalii zaidi ya milioni 3.2 kwa mwaka lakini kwa Tanzania sisi tunatembelewa na watalii milioni 1.2, kwa hiyo ugeni huu utaimarisha ushirikiano wa pamoja na Oman katika sekta hii”, alisema Dkt. Kigwangala

Aidha Dkt. Kigwangala alisema wataanzisha ushirikiano wa mradi wa watalii kuja moja kwa moja kutoka Oman mpaka Tanzania na Pwani ya nchi za Afrika Mashariki.

Naye Waziri wa Nishati Dkt. Medard Kalemani amesema kuwa ujio wa ugeni huo kutoka Oman ni fursa nzuri ya kufanya utafiti wa maeneo ya mafuta kwani serikali ya Oman ni wazoefu na wajuzi katika masuala ya uchimbaji mafuta.

“Tunatarajia ujio huu utajenga uhusiano mzuri katika hatua za utafiti wa mafuta hapa nchini ili kuweza kujenga uzoefu kwa watafiti wetu na kuwawezesha watanzania kuchimba mafuta bila shida kwa sababu wenzetu ni wazoefu katika eneo hili la
kiuchumi”
, amesema Dkt. Kalemani.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya