Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Licha ya ulinzi mkali, mahabusu 17 watoroka

Wednesday , 22nd May , 2019

Jumla ya watuhumiwa 17 wa makosa mbalimbali waliokuwa wamehifadhiwa kwenye ukumbi wa jengo jipya la Mahakama ya Mkoa wa Geita kusubiri mashauri yao kutajwa mahakamani, wametoroka katika mazingira ya kutatanisha.

Askari wa Jeshi la Polisi

Awali Mahabusu hao walikuwa wamehifadhiwa katika Ukumbi wa Mahakama ya Hakimu Mkazi Mkoa wa Geita kabla ya kuhamishiwa katika ukumbi wa jengo jipya la mahakama hiyo linaloendelea kujengwa ili kupisha kikao cha Mahakama Kuu kinachoendelea mbele ya Jaji Ismail.

Mkuu wa Mashitaka, Ofisi ya Mashitaka Mkoa wa Geita, Bibiana Kileo, ameeleza  kuwa mahabusu waliotoroka hawahusiani na kikao cha Mahakama Kuu kilichoanza mei 20 hadi Juni 16 mbele ya Mhe. Jaji Ismail kwa ajili ya kusikiliza na kutolea maamuzi kesi za mauaji.

Mkuu wa Magereza Mkoa wa Geita, Kamishna Msaidizi wa Magereza (ACP) Robert Rumanyika amesema Jeshi hilo halijaanza utaratibu wa kupeleka mahabusu mahakamani kama ilivyo kwa baadhi ya Mikoa hapa nchini na kwamba tukio la kutoroka kwa mahabusu hao haliko chini yake.

Naye Kamanda wa Polisi Mkoa wa Geita, Mponjoli Mwabulambo, akizungumza kwa sharti la kutokupigwa picha, amesema asingependa kuzungumzia tukio hilo kwa sasa kwa hofu ya kuvuruga upelelezi.

Tazama hapa chini.

 

 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya