Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lowassa arudisha fomu ya Urais CHADEMA

Saturday , 1st Aug , 2015

Mgombea Urais kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo nchini CHADEMA, Edward Lowassa leo amerejesha fomu aliyoichukua kwa ajili ya kuomba ridhaa ya kuwa mgombea urais kupita chama hicho.

Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa akiwa katika meza kuu ya Chadema.

Akizungumza mara baada ya kukabidhwa fomu Makamu mwenyekiti wa CHADEMA, Prof.. Abdallah Safari amesema mh. Lowassa amemaliza minong'ono iliyokua ikisemwa kwamba huenda asingerudi tena

Katika hatua nyinngine Wagombea wa urais kupitia vyama vya siasa vya Tanzania Labour Party TLP, na UPDP, leo wamejitokeza ofisi ya tume ya taifa ya uchaguzi kwa ajili ya kuchukua fomu tayari kwa maandalizi ya kugombea nafasi ya urais kupitia vyama vyao.

Kwa upande wa chama cha TLP mgombea wake wa Urais alikuwa ni Maximilan Lyimo, ambapo chama cha UPDP mgombea wake alikuwa ni Fahami Dovutwa ambapo akizungumza mara baada ya kuchukua fomu hiyo Mgombea wa chama cha TLP Bw. Macmilan Lyimo amehimiza amani kwa watanzania kutokana na uchaguzi wa mwaka huu kuwa na mvuto wa aina yake.

Amesema ni vyama wananchi wakaendelea kuilinda amani ya nchi kwa kuwa uchaguzi ni suala la kupita tu Rais wa nchi anamjua Mungu hivyo hakuna sababu ya watanzanuia wakafarakana na kukosa kuelewana.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya