Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Lukuvi atoa agizo

Monday , 11th Sep , 2017

Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi ameagiza kuondolewa kwa wafugaji wanaochunga mifugo yao kwenye mashamba ya wakulima katika tarafa ya Idodi mkoani Iringa na kusababisha uharibifu wa mazao ya wakulima.

Waziri wa Ardhi nyumba na Maendeleo ya Makazi Mheshimiwa William Lukuvi.

Akizungumza kwenye hafla ya kukabidhi gari la wagonjwa kwa kituo cha afya Idodi Waziri Lukuvi amesema hakuna sababu ya kuendelea kuishi na wafugaji hao huku akiwaonya viongozi wala rushwa wanaowaficha na kuwahifadhi wafugaji hao.

Mkuu wa mkoa wa Iringa Bibi Amina Masenza amewataka wananchi wa Idodi kutoa ushirikiano na kuwataja wafugaji wote ambao wamekuwa chanzo cha vurugu ili kuwaondoa wafugaji hao waliovamia kijiji na kusababisha mgogoro.

Katika mahojiano na baadhi ya wananchi wa eneo hilo wamesema wafugaji hao wanapata kiburi kutoka kwa baadhi ya watendaji wa serikali ambao wamekuwa wakiwakamata mara wanapofanya uhalifu na kuwaachia bila kuwashitaki.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya