Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mahindi yenye viini lishe bora yaadimika

Wednesday , 20th Aug , 2014

Mtafiti wa kilimo wa Selian Rose Ubwe amesema kwa sasa kuna changamoto kubwa ya upatikanaji wa mbegu za mahindi ya viini lishe kutokana umuhimu wa matumi ya mbegu hizo kwa jamii kwa sasa.

Bi. Umbwe amesema kuwa ongezeko la mahitaji ya mbegu za mahindi lishe ni kubwa kutokana nauelewa mkubwa wa faidi za matumizi ya mbegu hizo huku huku upatikanaji wake wa sasa ukikubwa na changamoto kubwa.

Kwa upande wake mmoja wa wasambazaji wa mbegu zenye viini lishe Peter Mutisya amesema kwa sasa kazi kubwa ni kwa mamlaka zinazohusika kuhakikisha kuwa wananchi wanauelewa wa kutosha kuhusu matumiza sahihi ya nafaka za viini lishe

Mradi huo wa usambazji wa teknolojia ya mahindi tayari unatekelezwa katika wilaya za Muheza ,Kilosa,Korongwe na Mikumi.

Katika hatua nyingine, serikali imezitaka Taasisi za Fedha kuacha ukiritimba wa rushwa katika utoaji wa mikopo wa wajariamali wadogo wa kati.

Hayo yamebainishwa na Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri mkuu,Uwekezaji na Uwezeshaji Dk. Mary Nagu wakati wa kongamano la wajasiliamali na Taasisi za Fedha ili kujadili mchango wa upatikanaji huduma hizo katika kukuza uchumi wa nchi.

Dtk. Nagu amesema kuwa mchango wa sekta za fedha katika kukuza uchumi na kupunguza umasikini siyo wa kubeza hivyo kutaka ushiriki wa wadau wote katika uwekezaji kupitia uwezeshaji unaofanywa na serikali pamoja na taasisi na sekta binafsi.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP