Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Makamba amshukia Lowassa

Tuesday , 1st Sep , 2015

Aliyekuwa mgombea urais kupitia CCM, Januari Makamba amesema kuwa vyama vya upinzani havipaswi kupewa uongozi wa nchi kwa kuwa havina sera zinazoeleweka wala demokrasia ya kweli.

Aliyekuwa mgombea urais kupitia CCM,na mbunge aliemaliza muda wake wa jimbo la Bumbuli Mh. Januari Makamba

Makamba ametoa kauli hiyo mjini Dodoma wakati akizindua kampeni za mgombea ubunge wa jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde katika viwanja vya Barafu vilivyoko mjini humo na kusema kuwa kinachofanyika kwenye vyama vya upinzani ni maigizo na siyo mabadiliko ya kweli kama wanavyojinadi.

Amesema kuwa kwa muda mrefu upinzani nchini umejijengea jina kwa kauli zao za kupinga vitendo vya ufisadi na rushwa lakini badala yake wamewachukua watu waliokuwa wanawaaminisha Watanzania kwa muda mrefu kuwa ni mafisadi na kuwa wagombea wao wa nafasi nyeti ya Urais.

Aidha amesema kuwa hata njia alizotumia mgombea Urais kupitia CHADEMA, Edward Lowassa kujiunga na chama hicho kilijawa na mizengwe mingi kutokana na uroho wa madaraka alionao.

Amesema mgombea Urais kupitia CCM, John Magufuli ndiye mtu pekee wa kuaminiwa na kupewa nchi kutokana na uchapakazi wake na hana kashfa yoyote ya ufisadi wala rushwa.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya