Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mama Wema aingilia mahusiano ya mwanae, aweka nia

Wednesday , 3rd Apr , 2019

Mama Mzazi wa Muigizaji Wema Sepetu, amesema akiwa kama mzazi wa muigizaji huyo, amechoka na vitendo vya muigizaji Diana Kimary kwa kuwa anamrudisha nyuma mtoto wake kiasi cha kushindwa kufanya maendeleo.

Wema Sepetu akiwa na Diana Kimary

Kupitia sauti zainazotembea mitandaoni zikidaiwa ni za mama yake Wema, mzazi huyo amesema kwamba uchungu wa Wema anaufahamu yeye na ndiyo maana hataki kumuona mwanaye akiwa pamoja na Diana.

Amesema kwamba wakati wa matatizo ya Wema yeye ndiye huwa anateseka peke yake wakati hao kina Diana wakiwa mbali huku akisisitiza hakuna la maana wanalofanya wala kumshauri Wema jambo la maana.

Mama wema amesema atakula sahani moja na Diana kuhakikisha anamtenganisha na Wema kwani anaamini nazi haiwezi kushindana na jiwe.

"Huyo Diana nimeshampiga nitaendelea kumpiga mpaka nihakikishe namvunja mguu", imesema sauti hiyo inayodaiwa kuwa ni ya mama Wema.

Pamoja na hayo mama wa muigizaji huyo amewataka mashabiki na watu wa karibu wa Wema wamuambie ukweli kuhusu matendo anayoyafanya hata kama atawachukia.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP