Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mamilioni ya vijana kuwaponza wakurugenzi

Saturday , 23rd Mar , 2019

Waziri wa nchi  ofisi ya  Raisi Tawala za mikoa na serikali  za mitaa TAMISEMI Selemani Jafo ametoa wiki moja kwa wakurugenzi wa halmashauri za mkoa wa Morogoro na nchini kwa ujumla, kuhakikisha wanatoa taarifa za fedha za mikopo ya asilimia kumi inatolewa kwa akina mama,vijana na walemavu

Selemani Jafo

Waziri Jafo ametoa agizo hilo wakati wa kongamano la vijana kujadili fursa za mkoa wa Morogoro ambapo amesema serikali imetoa maagizo kwa wakurugenzi wote nchini kuhahikisha wanatenga asilimia kumi ya mapato ya ndani kuwasaidi makundi maalumu ambayo ni akina mama ,vijana na walemavu jambo ambalo baadhi ya wakurugenzi wamekuwa hawafanyi.

Jafo amewataka wakurugenzi kuziwasilisha ripoti hizo kwa katibu tawala wa mkoa huo ili kutambua ni kiasi gani ambacho kimetolewa na kuwafikia walengwa.

Aidha Waziri Jafo ametoa muda wa miezi mitatu kwa wakurugenzi wote nchini kuhakikisha fedha ilizotengwa kwaajili ya vikundi vya vijana, wanawake na walemavu zinawafikia walengwa ikiwa ni katika kutekeleza sheria ambayo Mheshimiwa Rais wa Tanzania Dkt. John Magufuli ameipitisha kwa lengo la kuwainua kiuchumi watanzania ambao asilimia kubwa ni wanyonge.

Kwa upande wake Naibu waziri wa Kilimo, Mheshimiwa Omary Mgumba amewataka wakazi wa Morogoro  kutumia fursa za viwanda vinavyoanzishwa katika mkoa huo kujikita katika kilimo ili kuwakomboa kiuchumi.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya