Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mbunge aliyechongewa kwa JPM afunguka

Monday , 22nd Apr , 2019

Mbunge wa Mtwara Vijijini, Hawa Ghasia amewataka wapiga kura wake, kutowaamini watu wanaozusha maneno kwamba ametaka kuhamishia ujenzi wa hospitali ya Wilaya Mkunwa badala ya Nanguruwe.

Rais Magufuli

Akizungumza na wananchi wa Nanguruwe, Ghasia amesema kwamba yeye mwenyewe alipata taarifa kuwa Baraza la Madiwani wamehamisha Hosptali ya wilaya Mtwara, isijengwe Nanguruwe na wameipeleka Mkunwa wakidai kuna maelekezo toka Tamisemi ingawa hawezi kuwalaumu.

"Kuna wengine wanaozusha kwamba eneo la Mkunwa ni la Hawa Ghasia, Jamani! Ghasia ana maeneo mangapi? uko mnakosikia wanasemaje kwamba mimi ndo nalazimisha wajenge Mkunwa nilipwe fidia? Msidanganyike. Niko na nyinyi kuhakikisha maagizo ya Rais Magufuli yanatekelezwa" Mbunge Ghasia

Ameongeza kwamba "Kabla ya Rais kufika hapa.Nilipata taarifa kuwa Baraza la Madiwani wamehamisha Hosptali ya wilaya Mtwara,isijengwe Nanguruwe na wameipeleka mkunwa wakidai kuna maelekezo toka Tamisemi. Nikaenda Tamisemi wakakataa. Siwalaumu Madiwani,wamedanganywa".

Pamoja na hayo, Mbunge Ghasia amesema kwamba "Tangu nimekuwa Mbunge sijawahi kuwa na mkutano mkubwa kama huu. Ndugu zangu wa Nanguruwe tukitaka tushinde hii vita mimi  na nyinyi tuwe kitu kimoja, tukianza kugombana wenyewe tutashindwa na ndo wanachotaka. Hakuna anayeweza kubadili agizo la Rais, Hospitali itajengwa hapa

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya