Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mgomo wa daladala watikisa Morogoro

Thursday , 21st Apr , 2016

Madereva wa daladala kugoma kwa zaidi ya saa nane kwa madai ya kunyanyaswa na watendaji wa SUMATRA

Wakazi wa mji wa Morogoro na maeneo ya jirani wamelazimika kutembea kwa miguu na wengine kupanda magari ya mizigo baada ya madereva wa daladala kugoma kwa zaidi ya saa nane wakishinikiza mamlaka ya udhibiti wa usafiri wa majini na nchi kavu (SUMATRA) kuacha kuwanyanyasa kwa kuwakamata na kuwatoza faini kubwa.

Wakizungumza katika maeneo mbalimbali ya mji wa Morogoro baadhi ya abiria wakiwemo wanafunzi wametupia lawama serikali kushindwa kushugulikia kero za madereva hao na kusubiri mgogoro unakuwa mkubwa na kuathiri shuguli za maendeleo na masomo kwa wanafunzi.

Wakieleza sababu za mgomo huo viongozi wa chama cha madereva wa daladala manispaa ya Morogoro wamesema mgomo huo umetokana na madereva kuchoshwa na utendaji mbovu wa afisa mfawidhi wa SUMATRA mkoa wa Morogoro kukamata hovyo daladala na kisha kuwatoza faini bila sababu za msingi.

Akizungumza mara baada ya kukutana na viongozi wa madereva hao mkuu wa wilaya ya Morogoro Muhingo Rweyemamu amesema kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya imewaomba warudishe magari barabarani hadi siku ya Jumatatu watakapokutana tena kutatua kero zao.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya