Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Milioni 860 zamwagwa kwa wenye VVU

Saturday , 21st Oct , 2017

Mfuko wa udhamini wa Ukimwi nchini Tanzania umekabidhi hundi ya shilingi Milioni 860 za kitanzania kwaajili ya ununuzi wa dawa za zitakazo tolewa kwa wagonjwa wa virusi vya ukimwi wapatao milioni moja na laki nne hapa nchini.

Mfuko huo umeazishwa na serikali kuchangia miradi ya ukimwi kwa fedha za ndani baada ya wahisani kusitisha misaada ya kutoa dawa hizo ambazo ni muhimu kwaajili ya wenye Virusi Vya Ukimwi ambapo kila mwaka Tanzania huitaji dawa zenye thamani ya shilingi Bilioni 2.8 kuhudumia wenye VVU

Waziri wa nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu Sera Uratibu, Bunge Ajira na Walemavu Mhe. Jenista Mhagama na waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto Mhe. Ummy Mwalimu kwa pamoja wamesema fedha hizo zitajenga kituo cha afya cha Mererani ili kuwahudumua asilimia 60 ya wachimbaji madini walioathirika na virusi vya ukimwi na kusambaza dawa kote nchini huku jamii ikitakiwa kuchangia kwenye mfuko huo

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya