Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mmejipangaje kuzuia dawa za kulevya-Kitwanga

Thursday , 17th Dec , 2015

Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi, Mh. Charlses Kitwanga amewaagiza maofisa waandamizi wa jeshi la polisi kumpelekea maelezo hii leo kuwa wamejipangaje na watafanya nini katika kupambana na kuwamata wahusika wa dawa za kulevya.

Waziri wa Mambo ya ndani ya Nchi,Mh. Charlses Kitwanga.

Mh. Kitwanga ametoa agizo hilo jana wakati alipofanya ziara ya kutembelea maeneo mbalimbali ya jeshi la polisi kikiwemo chuo cha taaluma ya polisi, nyumba za polisi kurasini na kituo kikuu cha polisi jijini Dar es salaam.

Amesema tatizo la dawa za kulevya limekuwa kubwa hivyo ni lazima jeshi hilo kuhakikisha linakuwa na mpango wa kuhakikisha wahusika wote wanakamatwa na hatua zinachukuliwa bila kuangalia muhusika ana nguvu gani katika jamii au siasa.

Waziri huyo ameongeza kuwa endapo jeshi hilo litashindwa kuwakamata watu hao inaonesha kuwa wanashirikiana na wahusika hivyo ni lazima wakuhusika wakamatwe ili kuondoa dhana ya wao kushirikiana na watu hao.

Katika hatua nyingine amewataka kujipanga na kuondoa dhana iliyojengeka kwa watu kuwa askari wamekuwa wakiwabambikia watu kesi ambazo hawahusiki nazo na kuwataka kuhakikisha wanafanya kazi zao kwa nidhamu na weledi.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP