
Taarifa juu ya kifo chake imetolewa na Kiongozi wa ACT Wazalendo Zitto Kabwe, na kueleza kwamba Bi.Tumaini amefariki dunia akiwa katika hospitali ya Rabininsia iliyopo Jijini Dar es Salaam.
Endelea kufuatilia mitandao yetu ya kijamii kwa taarifa zaidi juu ya msiba huu.