Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Mwanasheria Alberto Msando asombwa na CCM

Tuesday , 21st Nov , 2017

Mwanasheria maarufu nchini Alberto Msando ambaye amewahi kuwa mwanachama wa Chadema pamoja na ACT-Wazalendo amehamia Chama cha Mapinduzi.

Msando ameomba ridhaa ya kujiunga na CCM leo kwenye mkutano mkuu wa Halmashauri kuu ya NEC unaoendelea jijini Ikulu Dar es salaam na kukubaliwa na wanachama chini ya mwenyekiti wa chama hicho Rais John Pombe Magufuli.

“Nimeona harakati nyingi za serikali na Chama cha Mapinduzi katika kuwaletea maendeleo wananchi hivyo nimekaa nakajitathimini nimeamua kujiunga na CCM ili nisaidie kusukuma gururudumu la maendeleo.

Msando pia ameeleza kuwa alikuwa anaona anachelewa kujiunga na vijana wenzake kama Mbunge wa Dodoma Mjini Antony Mavunde ambao mara zote amekuwa akiwaona wapo mstari wa mbele katika kupigania maendeleo ya vijana na taifa kwa ujumla.

Aidha Msando ambaye amewahi kuwa mshauri wa Chama cha ACT-Wazalendo amesema hii ni mara yake ya kwanza kuingia CCM kwa kuwa kwa sasa si aibu tena kwa mtu kujitambulisha kuwa ni mwana CCM kwani imesafishika kuliko ilivyokuwa awali ambapo ulikuwa ukionekana na nguo za CCM unazomewa mitaani.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya