Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Nanyamba walia na tatizo la maji safi na salama

Wednesday , 16th Sep , 2015

Wakazi wa halmashauri ya mji wa Nanyamba mkoani Mtwara wamelalamikia tatizo la uhaba wa maji lililodumu kwa miaka mingi kiasi cha kulazimika kusafiri umbali wa kilomita zaidi ya 50 mpaka Ruvuma kufuata huduma hiyo.

Aliekua Mwenyekiti wa Kamati Ndogo ya Bunge ya Kilimo, Mifugo na Maji Amina Makilagi akipanda ngazi za tanki la maji la mradi wa Maji wa Nanyamba.

Wakizungumza na East Africa Radio, baadhi ya wananchi hao walisema maji wanayotumia sio salama kwasababu ni ya mabwawa ambapo hata hivyo upatikanaji wake wanalazimika kusafiri kwa zaidi ya kilomita 10, hali inayopelekea kuzorotesha shughuli zingine za kimaendeleo.

Aidha, mgombea ubunge wa jimbo la Nanyamba kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdallah Chikota, ambaye amekosa mpinzani katika jimbo hilo ameahidi kutatua tatizo hilo, kwa kufufua na kuanzisha miradi mingine ya maji.

Kwa upande wake, mkurugenzi wa halmashauri hiyo, Oscar Ng’itu, amesema zipo baadhi ya changamoto ambazo zinapelekea uwepo wa tatizo hilo ikiwa ni pamoja na kukosa nishati ya uhakika katika vyanzo vya maji na kulazimika kutumia mafuta kiasi cha zaidi ya lita 150 kwa siku kwa ajili ya kuwasha jenereta, ambalo haliwezi kufanya kazi kwa saa 24.

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20