Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Serikali yatoa Miezi 3 kwa wananchi

Monday , 13th Nov , 2017

Wanakijiji 1,830 wa kijiji cha Bwila Chini Mkoani Morogoro wapewa miezi mitatu kuhama Wananchi zaidi ya 1,800 wa kijiji cha Bwila Chini na Kiburumo tarafa ya Mvuha Wilaya ya Morogoro.

Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk. Kebwe Stephen

Wakazi hao wametakiwa kuondoka katika eneo hilo ndani ya kipindi hicho kwa ajili ya kupisha ujenzi wa bwawa katika eneo hilo baada ya kulipwa fedha zao za fidia na kumalizika kwa msimu wa Mavuno.

Akizungumza na wananchi wakati wa uzinduzi wa malipo ya fidia awamu ya pili katika viwanja vya Shule ya Msingi Bwila Chini, Mkuu wa Mkoa wa Morogoro, Dk. Kebwe Stephen Kebwe, amesema lengo la Serikali ni kutaka wananchi hao kupata makazi mapya baada ya kutakiwa kupisha ujenzi wa bwawa katika eneo hilo hivyo ni vyema wakatumia kiasi hicho cha fedha kama ilivyoelekezwa.

Kwa upande wake, Meneja Miundombinu Mamlaka ya Maji Safi na Maji Taka Mkoa wa Morogoro ,Mhandisi John Kirecha, amesema, malipo hayo yanatokana na malalamiko yaliyoibuka wakati wa malipo ya awamu ya kwanza mwaka 2014 ambapo jumla ya shilingi Bilion 4 zinatarajiwa kulipwa kwa wananchi zaidi ya 1,800.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya