Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spika aguswa na Hijab za Wabunge

Friday , 18th May , 2018

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Job Yuston Ndugai ameonyesha kufurahishwa na umoja waliouonyesha wabunge katika kuwaunga mkono wabunge waislamu katika kipindi hiki cha Mwezi Mtukufu wa Ramadhan.

Akionyesha furaha yake bungeni, Spika amesema kwamba amependa jinsi ambavyo wabunge wameonyesha umoja kwa kuvaa stara (Hijab) huku akimpongeza Naibu Spika Tulia Ackson kaongoza kwa kwa kufunika.

"Waheshimiwa wabunge tunaendelea lakini kabla hatujaendelea, kwa utafiti wangu niliofanya leo watu humu ndani wamependeza kwa kuvaa bargashia na kanzu. Hongereni sana, lakini tukumbuke kanuni tunapovaa lazima tuvae inavyotakiwa kama kule pwani na miguuni siyo kuvaa kiatu cha kamba, bali kobazi" Spika.

Ameongeza "Kwa upande wa kina mama leo Hijab zimekubali. Lakini katika hijab,  hijab namba moja leo hii ni ya Naibu wangu Mhe. Naibu Spika (huku akicheka) na hii inaonyesha utanzania wetu jinsi ambavyo sisi ni wamoja".

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya