Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Spika Mstaafu aingilia kati hukumu ya CAG

Thursday , 4th Apr , 2019

Spika Mstaafu wa Bunge la 8, Pius Msekwa amesema hatua ya Bunge kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi Hesabu za Serikali, CAG Prof Mussa Assad ni kiashiria kwamba Bunge halina imani na CAG maana yake kiongozi huyo anapaswa kuachia ngazi.

Spika Mstaafu wa Bunge la 8, Pius Msekwa.

Spika Mstaafu Msekwa ametoa kauli hiyo wakati akizungumza na kipindi cha East Africa Breakfast, cha East Africa Radio juu ya maoni yake kuhusu maazimio ya Bunge ya kutangaza kutofanya kazi na Spika.

Msekwa amesema, "Bunge likisema halitafanya kazi na kiongozi fulani, maana yake hawana imani na kiongozi fulani, ni vizuri ieleweke Bunge likisema halina imani maana yake ni kiongozi huyo tu sio idara yote, CAG akisema niachie ngazi kazi za idara yake zitaendelea na akishika mwingine kazi Bunge lisharikiana naye."

"Maafisa wa CAG wakisusia kutoingia Bungeni ni utovu wa nidhamu, kwa sababu aliyeazimiwa na Bunge ni mtu mmoja sio idara nzima, kama wakisusia kweli ni utovu wa nidhamu ni sawa na watu wakigoma kwenda kazini", ameongeza Msekwa.

April 2, 2019 jijini Dodoma, Bunge la Tanzania liliazimia kutofanya kazi na Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali CAG, Prof Mussa Assad kwa kutoa kauli iliyoashiria kulidhalilisha Bunge baada ya kusema kuwa Bunge ni 'dhaifu'.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya

Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo

Wanafunzi 194 washika mimba ndani ya mwezi mmoja