Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

TAKUKURU yalalamikia adhabu wanazopewa watuhumiwa

Friday , 20th Apr , 2018

Taasisi ya kuzuia na Kupambana na Rushwa TAKUKURU mkoa wa Mtwara imesema hairidhishwi na adhabu zinazotolewa kwa wanaokutwa na hatia kwa makosa mbalimbali ya rushwa kutokana na vifungu vya sheria kuainisha adhbu ndogo ukilinganisha na ukubwa wa kosa.

Kamanda wa TAKUKURU mkoa wa Mtwara Stephen Mafipa, ameeleza hayo wakati akitoa taarifa ya utendaji kazi kwa kipindi cha kuanzia Januari hadi Machi mwaka huu na kuongeza kuwa tayari wamepeleka mapendekezo makao makuu kwa ajili ya kushughulikia maboresho ya sheria hizo.

Aidha, kamanda huyo wa TAKUKURU amezitaja taasisi zinazoongoza kwa kulalamikiwa juu ya makosa ya rushwa kuwa ni pamoja na vyama vya ushirika ambavyo jumla ya malalamiko 24 yamewasilishwa.

Taasisi hiyo imesema katika kipindi hicho jumla ya kesi 25 ziliendelea Mahakamani katika mkoa wa Mtwara na wilaya zake, ambapo taasisi zinazoongoza kwa ni pamoja na halmashuri kesi 19.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya