Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

UN yasikitika Afrika Kusini kujitoa ICC

Saturday , 22nd Oct , 2016

Hatimaye imethibitika kuwa Afrika Kusini imejitoa kwenye mkataba wa Roma ulioanzisha Mahakama ya Kimataifa ya Jinai, (ICC).

Jacob Zuma

Afrika Kusini iliripotiwa kuwasilisha barua mbele ya Umoja wa Mataifa ikieleza kuwa imefikia hatua hiyo kwa sababu kuwa mwanachama wa ICC kukinzana na sheria ya nchi hiyo ya haki na kinga za kidiplomasia.

Akizungumzia hatua hiyo mbele ya wanahabari mjini New York, Marekani, msemaji wa Umoja wa Mataifa Stephane Dujarric amethibitisha kupokea barua hiyo na sasa inashughulikiwa na idara ya masuala ya sheria.

 

Dujarric amesema kuwa Katibu Mkuu Ban Kin Moon amesikitishwa sana na uamuzi wa serikali ya Afrika Kusini kwa kuwa nchi hiyo ilikuwa na mchango mkubwa ICC kwa kuwa ilikuwa ni miongoni mwa nchi za mwanzo kutia saini mkataba huo.

Uamuzi huo wa Afrika Kusini unamaanisha kuwa mwaka mmoja kuanzia sasa nchi hiyo haitakuwa tena mwanachama wa ICC.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya