Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waandamana kisa Rais Magufuli,RC awajia juu

Saturday , 16th Feb , 2019

Serikali ya Mkoa wa Manyara imewataka wachimbaji wadogo wa migodi ya madini ya Tanzanite yaliyopo Mererani wilayani Simanjiro mkoani, kuacha kusambaza taarifa za uongo kuhusu utoroshaji wa madini ya Tanzanite kutokana na taarifa hizo kuisababishia hasara Serikali inapozifanyika kazi.

Kauli hiyo imetolewa na Mkuu wa Mkoa wa Manyara Alexander Mnyeti alipokuwa akipokea maandamano ya amani ya wachimbaji wadogo waliokuwa wakimpongeza Rais kwa kupunguza baadhi ya kodi zilizokuwa kero kwao katika mchakato mzima wa uchimbaji na uuzaji wa madini ya Vito.

Akizungumza na wananchi, wachimbaji, madalali pamoja na viongozi wa Chama Cha Wachimbaji madini mkoani humo (MAREMA), Mkuu wa Mkoa wa Mnyeti amewataka wachimbaji hao kuacha kulazimisha njaa zao kuwa njaa za taifa.

Kwa upande wao baadhi ya wachimbaji wakubwa kwa wadogo wakiwemo Wakurugenzi wa Kampuni ya Tanzanite One, Faisal Juma na mbunge wa Simanjiro James Milya wakitoa salam zao kwa kusema dhamana aliyoitoa Rais Magufuli kwao wataichunga na kuienzi kwa kulipa kodi stahiki kikamilifu .

Katika muswada  uliopelekwa bungeni kwa hati ya dharura kwa ajili ya marekebisho ya sheria ya madini baadhi ya tozo zilizoondoleea ni kodi ya huduma asilimia 5 na kodi ya ongezeko la thamani asilimia 18 ili kuleta ahuweni kwa wafanyabiashara ya madini

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya