Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wagombea watoweka na fomu za Ubunge

Saturday , 20th Apr , 2019

Msimamizi wa Uchaguzi katika jimbo la Arumeru Mashariki Emmanuel Mkongo amebainisha sababu ya aliyekuwa Mgombea wa Chama Cha Mapinduzi CCM, Dkt. John Palangyo kupita bila kupingwa kwenye uchaguzi wa Jimbo la Arumeru Mashariki, ni kwamba baadhi ya wagombea kutorudisha fomu za kuwania ubunge

Mbunge mteule Dkt John Pallangyo

Akitangaza sababu ya mgombea wa CCM kupita bila kupingwa Mkongo amesema, idadi kubwa ya wagombea walishindwa kufuata taratibu na sheria zinazoongoza kanuni za Uchaguzi wa Urais na Ubunge na Udiwani.

Emmanuel Mkongo amesema kuwa "wagombea watatu hawakuteuliwa kwa sababu hawakurudisha fomu, ambao ni Antonia Ndosi (DP), George Nashoini (CUF), na Msifuni Mwanga (TLP), fomu za wagombea wengine 7 zilirudishwa lakini zilikuwa na mapungufu ya kisheria."

"Mgombea wa SAU hakuteuliwa kwa sababu hakudhaminiwa na wapiga kura 25, na kushindwa kukidhi matakwa ya sheria ya uchaguzi, mgombea huyu pia hakulipa dhamana ya shilingi 50000." ameongeza Mkongo

"Mgombea Tirusbia Joseph wa UPDP mapungufu yake ni kutowasilisha picha kwenye fomu ya kuwania Ubunge, na yeye pia hakulipa gharama ya 50000." amesema Mkongo

April 19, 2019 Msimamizi huyo wa Uchaguzi alimtangaza aliyekuwa Mgombea wa CCM Dkt. John Palangyo kuwa Mbunge mteule wa Jimbo la Arumeru Mashariki na kurithi nafasi ya Joshua Nassari.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya