
Mahakama
Raia hao waliojulikana kwa majina ya Mohamed Adan Abdow, Mohamed Hamid Suleyman na Yahya Suleyman wamelipwa fedha hizo kwa ajili ya fidia juu ya ukiukwaji wa uhuru na haki zao za msingi waliofanyiwa.
Akisoma hukumu hiyo, Jaji wa Mahakama Kuu, David Majanja amesema kuwa kukamatwa kwa kukamatwa na kuondolewa kwa raia hao kutoka Kenya hadi nchini Uganda kulikuwa ni kinyume cha sheria.
Mwaka 2010 watuhumiwa hao waliiomba Mahakama kupitia upya suala hilo la kukamatwa kwao na kuhamishiwa nchini Uganda wakisema kuwa halikufuata sheria.
Bonyeza hapa chini kuangalia zaidi.