Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Wanafunzi wa bweni wajipikia na kulala chini

Tuesday , 11th Jun , 2019

Wanafunzi wanaokaa katika mabweni ya shule ya sekondari Kisiwa iliyopo Mtwara, wameiomba serikali kuangalia mamna ya kuwasaidia kukabiliana na changamoto zinazowakabili ikiwemo kujipikia na kulala chini kwa kukosa vitanda.

Mkuu wa Wilaya ya Mtwara Evod Mmanda

Mabweni hayo yalijengwa miaka 13 iliyopita, na  kwasasa hayana vitanda hivyo wanafunzi wanalala chini pia  wanalazimika kuja na chakula chake kutoka nyumbani kwao kisha kujipikia mwenyewe.

Mkuu wa shule hiyo ya Sekondari, Amoni Mahembe amekiri kuwepo kwa changamoto hiyo huku akielekeza lawama upande wa wazazi kwa kusema wamekuwa wagumu unapofika wakati wa kujitolea michango.

Kwa upande wake Mkuu wa wilaya hiyo, Evod Mmanda, alipotembelea shuleni hapo kutoa msaada wa Vyandarua  ameahidi kupeleka vitanda 10 ili kupunguza changamoto hiyo.

Shule ya sekondari Kisiwa ni shule ya kutwa na Bweni inayochukua wanafunzi mchanganyiko wasichana na wavulana kuanzia kidato cha kwanza hadi cha nne. Shule hiyo ina Mabweni mawili ya wasichana yaliyojengwa mwaka 2006 takribani miaka 13 iliyopita.
 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20