Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Watumishi wasakwa kwa kuiibia serikali mabilioni

Sunday , 17th Mar , 2019

Mkuu wa mkoa wa Njombe, Christopher Ole sendeka ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama kuwakamata watumishi 12 akiwemo Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mji Njombe, Iluminata Mwenda kwa ubadhilifu.

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Cristopher Ole Sendeka.

Watumishi hao wanadaiwa kuitia hasara serikali kufuatia ubadhilifu wa fedha wa shilingi bilioni 5.5 za ujenzi wa kituo cha mabasi mkoni humo.

Agizo hilo la Mkuu wa Mkoa limekuja kufutia  taarifa ya Mdhibiti na  Mkaguzi  Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kusema  ujenzi huo  haukufuata taratibu za manunuzi na Kwamba hata mkandarasi aliyepewa zabuni ya  ujenzi huo  hakuwa na sifa  ya kufanya kazi hiyo jambo ambalo limeipelekea serikali hasara.

Aidha katika hatua nyingine, Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole sendeka ameviagiza vyombo vya ulinzi na usalama  kuwakamata na kuwafikisha mahakamani wahusika wote waliokimbia katika kikao cha dharula alichoitisha ili kutoa taarifa za ya Mdhibiti na  Mkaguzi  Mkuu wa Hesabu za Serikali CAG.

Ujenzi wa kituo cha mabasi mkoani Njombe ulianza rasmi mwaka 2018 na kutakiwa kukamilika mapema Januari mwaka, jambo ambalo limekuwa kinyume na mataraji hayo.

Bonyeza hapa chini kutazama zaidi.
 

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya