Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Waziri mkuu apigwa butwaa kuona mila hii

Wednesday , 18th Jul , 2018

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameonyesha kushangazwa na mila na tamaduni ya kucharazana bakora kwenye jamii ya washirazi katika kijiji cha Mwaka Kogwa, Makunduchi Kusini visiwani Unguja, Zanzibar.

Wananchi wa Mwaka Kogwa wakisherehekea sherehe hiyo

Mapigano hayo yaliyodumu kwa masaa matatu yalishuhudiwa wananchi ambao walipigana kwa fimbo za majani ya migomba kama ishara ya mila na tamaduni za kijiji chao.

Akizungumza baada ya kushuhudia sherehe hiyo, Waziri mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa amepigwa na mshangao mkubwa kuona namna ambavyo wananchi hao wanavyopigana huku wakiwa na furaha.

"Ni kweli sijapata kuona namna ambavyo watu wanachapana viboko namna hii huku wakiwa na furaha, hii ni mara yangu ya kwanza kuona ", amesema  Majaliwa.

Amesema utamaduni kama huo unajenga msingi mzuri wa maisha na kusisitiza kuwa kuduumisha kwake ni kuvirithisha vizazi vijavyo.

Wananchi wa Mwaka Kogwa wakisherehekea sherehe hiyo.

Waziri mkuu Majaliwa pia amesema utamaduni ni fursa nzuri ya kiuchumi hasa ikizingatiwa kuwa sherehe hizo zinahudhuriwa na watalii kutoka sehemu mbalimbali Duniani.

Sherehe hizo hufanyika kila mwaka katikati ya mwezi Julai na Agosti, ikiwa inahusisha kuimba nyimbo na kucheza ngoma zinazoashiria kutakiana mafanikio mema miongoni mwa watu wa jamii hiyo katika mwaka husika.

HABARI ZAIDI

Bujukano Mahungu John, Mwenyekiti wa Umoja wa Waganga na Wakunga wa Tiba Asili Tanzania

Waganga wa jadi waungana kukemea ukatili, Geita

Mhe. Kassim Majaliwa, Waziri Mkuu wa Tanzania

Mvua zilizoambatana na upepo zimeua watu watano TZ

Muonekano wa Eneo la Somanga baada ya Mawasiliano kati ya Lindi na Dar es Salaam kurejeshwa.

Mawasiliano yarejeshwa barabara ya Dar - Lindi

Naibu Waziri wa Nishati, Judith Kapinga

Kituo cha kupoza umeme kujengwa Tunduma

Mkuu wa Usalama Barabarani mkoa wa Songwe Mrakibu Mwandamizi wa Polisi (SSP) Charles Bukombe, akizungumza na abiria

"Fungeni mikanda muda wapo safarini" - SSP