
Mlinzi wa kulia wa Klabu ya Simba, Shomari Kapombe mara baada ya kusaini mkataba mpya wa kuendelea kusalia msimbazi.

Winga wa zamani wa Chelsea, Darmian Durf (kushoto) na Eden Hazard (kulia).

Bondia Tyson Fury (kushoto) na Anthony Joshua (kulia).

Mlinzi wa kulia wa Real Madrid, Dani Carvajal (kushoto) na nahodha wa timu hiyo, Sergio Ramos (kulia).

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Dkt. Dorothy Gwajima akiwa na Balozi wa China nchini Tanzania Mhe. Wang Ke katika ofisi za Wizara jijini Dodoma.

Katibu Mkuu, Wizara ya Afya- Idara Kuu ya Maendeleo ya Jamii Dkt. John Jingu akikabidhi zawadi kwa ajili ya Wazee na watoto wanaolelewa katika makazi ya 'Maria Theresa House' Mburahati, Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es Salaam.

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu Dkt. Leonard Akwilapo (kushoto) wakati akizindua ripoti ya HakiElimu inayoitwa ‘Elimu tunayoitaka’ kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa HakiElimu Dkt. John Kalage.

Kamanda wa jeshi la polisi Mkoa wa Shinyanga Debora Magiligimba.