
Akizungumza leo kwenye Planet Bongo leo wakati akitambulisha wimbo wake mpya alioupa jina Umeniacha amesema kwamba wasanii wanapaswa kutumia nafasi vizuri wanazopatiwa na siyo kuendekeza Kiki.
Nuru amesema kwamba licha ya kwamba vyombo vya habari vinasaidia kuu-push muziki kwa kuupa sapoti lakini hata mashabiki pia wanayo nafasi ya kuupeleka muziki mbali hata kwa kukemea.