
Msanii wa Bongo fleva AY
AY ameonesha kuwa yeye ni mmoja kati ya wasanii wenye fedha nyingi sana Bongo ingawa hakutaka kutaja thamani ya madini hayo katika meno yake kwa kuhofia usalama wake.
Pia kikawaida meno hayo tumezoea kuyaona tu kwa mastaa wenye fedha huko mbele wakiwa nayo kama vile Lily Wayne, Plies, Bird Man na wengineo yakifahamika kama grills.