
T Knok (Kushoto) akiwa na Baraka (kulia) ambaye alikuwa akikwepa kamera
Kwenye Planet Bongo ya East Africa radio, wasanii hao walikutanishwa bila kujua kama watakutana, na matokeo yake kila mmoja alikuwa 'akipanick' kwa kumuita mwenzake muongo, huku Baraka akikana kumjua T Knock.
Tazama video nzima hapa chini jinsi ilivyokuwa mwanzo mpaka mwisho wa tukio zima.