Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

B.B.K watamba kuweka rekodi mpya fainali Dance100%

Wednesday , 21st Sep , 2016

Kundi la B.B.K BOYS linaloshiriki fainali za Dance100% 2016 limesema limejipanga vizuri katika kuhakikisha kwamba linaibuka na ushindi wa Dance100% kwa kuweka rekodi kwa kuwa shindano la mwaka huu ni gumu zaidi.

Kundi la BBK BOYS

Akizungumza katika kipindi cha Planet Bongo Mwenyekiti wa kundi hilo Emmanuel Salehe amesema wamefanya maandalizi ya kutosha na wanaomba mashabiki kujitokeza kwa wingi kuwaunga mkono kwa kuwa imani yao ni kwamba wanaibuka na ushindi.

"Tupo makundi 6 ila sisi mazoezi yetu ni babu kubwa, tunafanya mazoezi kwa masaa 8 kila siku lengo likiwa ni kuwa tofauti na wenzetu, tumejipanga sana na maelekezo ya jaji tumeyazingatia vizuri hivyo watu wajipange kuona burudani ya aina yake" Amesema Emmanuel.

Kwa upande wake mmoja wa wanakikundi hicho Johnson Sanga amesema maisha yake na kikundi hicho kwa asilimia kubwa ratiba ni kazi za sanaa na umoja walionao umewezesha kuwa kama familia na kusaidiana katika maisha.

Shindano la Dance100% mwaka huu linafikia tamati Jumamosi hii tarehe 24 katika viwanja vya Don Bosco Osterbay Jijini Dar es Salaam na kudhaminiwa na Vodacom na Cocacola na kuoneshwa na EATV siku ya Jumapili saa moja jioni.

HABARI ZAIDI

Mkuu wa mkoa wa Katavi Mwanamvua Mrindoko,

Wadau wa afya simamieni ukusanyaji mapato

Picha za Kuonesha Muelekeo wa Kimbunga IALY

Kimbunga IALY charipotiwa bahari ya Hindi

Mabaki ya Nyumba yenye vyumba 12 iliyoteketea na Moto

Moto wateketeza nyumba yenye vyumba 12

Baadhi ya Majirani wa Kijana Amani Abed ambaye Amejinyonga baada ya kutoka Hospitali.

Kijana ajinyonga baada ya kutoka hospitali

Antony Blinken, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani

Marekani yatangaza kulifadhili jeshi la Ukraine

Kaimu Mkurugenzi wa ufuatiliaji na uzingatiaji sheria NEMC,

Wamiliki wa Hospitali nchini wapewa siku 90

Baadhi ya Wakazi wa Kata ya Madanga Mkoani Tanga

Wagoma kubeba mimba kwa kukosa huduma za afya