Error message

  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 664 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 670 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 667 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 675 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Notice: Trying to access array offset on value of type null in amp_node_view() (line 679 of /home/eatv/public_html/sites/all/modules/amp/amp.module).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).
  • Warning: "continue" targeting switch is equivalent to "break". Did you mean to use "continue 2"? in include_once() (line 3493 of /home/eatv/public_html/includes/bootstrap.inc).

Isha Mashauzi kuacha taarab?

Thursday , 7th Mar , 2019

Baada ya kushirikishwa kwenye wimbo wa Bam Bam wa Fid Q, Richi Mavoko na Big Jaman, Isha Mashauzi amekanusha tetesi zinazosema kwamba ataiacha taarabu na kuhamia katika muziki wa bongo fleva.

Isha Mashauzi

Isha amesema hawezi kuacha kuimba muziki wa taarabu kwa kuwa muziki wa taarabu ndo umemtangaza na kumfanya yeye kuwa na jina alilonalo hivi sasa akisema kuwa kwa upande wa Bongo Fleva kuna wanaofanya vizuri hivyo inabidi awaachie nafasi na sio kwamba anaogopa kushindwa. 

Hata hivyo Isha ameendelea kusema kwamba, "haikuwa rahisi kujiamini kufanya kazi ya Fid Q kwa kuwa ilikuwa mara yangu ya kwanza kufanya wimbo wa Bongo Fleva, nilikuwa nahofia japo niliingiza yale mashairi kwa siku moja na kwa muda mfupi kama masaa mawili hivi nikayaacha studio na kuamini chochote kitakacho tokea nitapigiwa simu".

"Lakini badae kuna mtu alikuja na kuniambia amesikiliza verse za wimbo huo nilizofanya na kunisifia kwamba ni nzuri na baada ya wimbo kutoka, Fid Q alinipongeza kuwa nilichokifanya kipo vizuri".

Pia Isha amemaliza kwa kusema anapenda kujifunza pale anapokosea na hapendi kiki kwa kuwa anaamini kwamba muziki wake pekee ni kiki tosha hivyo hawezi kutafuta kiki na kama kuna nyimbo yake ambayo anaambiwa ameimba vibaya huwa anakaa na kuisikiliza ili kuweza kuifanyia marekebisho badae. 

HABARI ZAIDI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mheshimiwa January Makamba

Ziara ya Rais Samia Korea kuanza rasmi Mei 31 2024

Bw. Nazar Nicholas (katikati) akikabiziwa tuzo ya WSIS 2024

Tanzania yashinda Tuzo WSIS 2024, nchini Uswisi

Dkt. Selemani Jafo, Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira).

Hati miliki ardhi za kimila 4,450 kutolewa Mei 29

DCP David Misime, Msemaji wa Jeshi la Polisi Tanzania

Mtoto atekwa na mzazi wake ili ajipatie milioni 20